Pamoja Mchungaji Gwajima atafuatana na timi ya watendakazi zaidi ya mia tatu na waimbaji maarufu wa injili kama Flora Mbasha, John Lisu, Jackson Benty na Mwanamapinduzi Band.
Mkutano huo wa kwanza kufanyika Morogoro kwa kanisa la Ufufuo na Uzima unatarajiwa kushuhudia misukule wakirudi, wagonjwa kupona, viwete kutembea na mambo mengine mengi ya ajabu.
Usikose kuhudhuria na wewe ili kupokea muujiza wako.
Dady Gwajima

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni