Jumanne, 22 Aprili 2014

MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA KUTUMIWA NA MUNGU KUIKOMBOA NCHI YA JAPAN KUTOKA MIKONONI MWA SHETANI

NI MUENDELEZO WA ZIARA KUBWA YA KUHUBIRI INJILI DUNIANI KOTE NA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA ANAENDELEA KUTUMIWA NA MUNGU BABA WA MBINGUNI KATIKA VIWANGO VYA JUU SANA

Mchungaji Josephat Gwajima ameshafanya mikutano mikubwa ya Injili katika miji mbali mbali nchini Japani, miji hiyo ni Osaka, Nagawa, Hiroshima,na sasa ni Nagoya na bado Yesu Kristo aliyeishinda mauti anaendelea kutenda miujiza ya kupita fahamu za wanadamu nchi humo.

Yafuatayo ni matendo na miujiza mikubwa ambayo Mungu ameyatenda kupitia kwa Mchungaji Josephat Gwajima katika mwezi huu wa April,2014 nchini Japan

Mchungaji wa nchini Japan akimkaribisha Mchungaji Josephat Gwajima katika mkutano uliokuwa na Nguvu za Mungu za kupita kawaida, Jijini Nagoya nchini Japan




Mchungaji Josephat Gwajima akianza kuhubiri na kushoto kwake ni mkalimani ambaye ni mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Tawi la Japan













Mchungaji Josephat Gwajima akiwa na mkalimani atafsirie kiingereza kwenda kijapani...





Baadhi ya wachungaji na washirika wakiwa wanamsikiliza Mchungaji Josephat Gwajima kwa umakini....



























Mchungaji Josephat Gwajima akiwa anafundisha mjini Nagoya,Japan










Mungu Baba yetu wa Mbinguni hukaa mahali pa Sifa na hapa kila mmoja aliyekuwa katika ukumbi aliweza kububujika kwa Bwana na kumtukuza Bwana wa Majeshi





Nchi ya Japani imejaliwa watu wa Mungu wenye kusifu sana...




























Roho Mtakatifu akiwa anatenda kazi


















Ukafika muda ambao Roho Mtakatifu kujidhihirisha kwa nguvu na mamia ya watu waliojazana ukumbini kunena kwa Lugha, wengine kudondoka na vifungo vilikatika kabisa kwa Jina la Yesu.





ROHO WA BWANA ALIKUWA JUU YA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA NA MUNGU ALIMTUMIA KATIKA UPONYAJI KWA KIWANGO CHA JUU SANA


KARIBU USHUHUDIE MATUKIO HAPA CHINI YA JINSI WATU WALIVYOKUWA WANAFUNGULIWA KUTOKA KATIKA VIFUNGO MBALI MBALI
























Mama huyu hapa juu alikuja kwenye mkutano jijini Nagoya akiwa hawezi kutembea, wakati wa maombezi nguvu za Mungu zilishuka juu yake kwa namna ya kipekee na akaweza kutembea tena
UTUKUFU KWA YESU












Mtu wa Mungu aliyekuwa katika mkutano akimsifu Mungu Baada ya kuweza kunyanyuka na kutembea




Kiti cha matairi alichokuwa anakitumia mama huyu


Akimsifu Mungu Baada ya kuweza kutembea na kuachana na kiti baada ya kuombewa na Mchungaji Josephat Gwajima



Mpiga vyombo akiwa anaombewa na Mchungaji Josephat Gwajima.






Watu wa Mungu waliokuwa na matatizo mbali mbali na wakisumbuliwa na mapepo, pichani wako katika kuendelea kupokea uponyaji wao.






Mchungaji Gwajima akiwaombea watu mbalimbali na hapa mapepo yaliyokuwa ndani ya mtu yakijaribu kuomba msamaha...lakini Moto wa Mungu uliwateketeza bila huruma.


Mapepo yaliyokuwa ndani ya mtu huyu, yalisalimu amrina kumtoka






























Baada ya Nguvu ya Mungu kushuka wengi walifunguliwa kutoka katika vifungo walivyokuwa navyo na shetani aliwaacha huru kabisa watu wa Mungu.


















Mchungaji Josphat Gwajima akimwombea Mchungaji wa nchini Japan.



Mchungaji Josephat Gwajima akiwaombea mamia ya watu Baraka za Mungu..





Kijana aliyekuwa anasumbuliwa na shetani na hapa alikuwa anaombewa na Mchungaji Jospehat Gwajima


Dada wa kijapani ambae aliacha shughuli alizokuwa anazifanya ili kupata uponyaji,kutoka kwa Mchungaji Josephat Gwajima na aliwekwa huru kwa Jina la Yesu.





Enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu, Mkiwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi. Ufufuo na Uzima tumekuwa tukiendelea na semina za kuwafundisha wachungaji wa mjini Nagoya Japan na mikutano ya watu wote iliyokuwa na mafanikio makubwa. Utukufu wa Mungu ulidhihirika kwa namna isiyokuwa ya kawaida.




Mchungaji Josephat Gwajima akiendelea na mkutano katika Jiji la Nagoya....







Mchungaji Grace Gwajima akiwa katika mkutano wa Injili nchini Japan.

























Mchungaji Josephat Gwajima akiwaongoza mamia ya waliofika katika mkutano Jijini Nagoya, nchini Japan







Mchungaji Josephat Gwajima akiendelea na mkutano katika Jiji la Nagoya....
















Mchungaji Josephat Gwajima akiwa anendelea kufundisha katika mkutano uliofanyika katika Jiji la Nagoya





















Mamia ya watu waliofika mkutanoni



Mchungaji Gwajima akimuombea na kumfungua mtu wa Mungu aliyefika mkutanoni

















Mchungaji Msaidizi Grace Gwajima



Mchungaji Josephat Gwajima akihitimisha Mkutano wa Injili jijini Nagayo Japan, na tayari kuelekea Katika Jiji la kibiashara la Tokyo ambalo ni kitovu cha nchi ya Japan


Mchungaji Grace Gwajima akiwa na Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa huko Nagayo nchini Japan

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni