Jumanne, 22 Aprili 2014

PICHA ZA AWALI ZA TAMASHA LA PASAKA JIJINI DAR ES SALAAM

Haya haya mdau wa GK, katibu tukupe picha za awali za tamasha la kimataifa la Pasaka kama ambavyo huwa linaandaliwa na kampuni ya Msama Promotions. Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake vilipata fursa ya kumsifu na kumuabudu Mungu kwa uimbaji, wakiongozwa na waimbaji nyota barani Afrika. Kekeletso Phoofolo akiwa nahodha.

Gospel Kitaa kama kawaida ilikuwepo kwa ajili yako, kama ulitamani kuja lakini hukufanikiwa, pengine ulikuwa 'Canada' au 'Benin', basi picha hizi ni za awali, endelea kutembelea kwa ajili ya picha kedekede za ziada na hata video za tukio hilo. Kama ulikuwepo, basi na tujikumbushe na kisha utuandikie maoni ni muimbaji gani alikugusa sana kwenye tamasha hilo.

Ni mwendo wa mfululizo, wimbo hadi wimbo. Prophet Keke punde baada ya kupanda jukwaani


Son of Tanzania, Ephraim Sekeleti


Babu na nani? Senior bachelor? mi sijui, ila hawa ni Philemon Rupia na Anthon Joseph wa WAPO Radio FM.

Baadhi ya kinadada wa GWT... glory glory..





'vocalists' wa Keke





Kekeletso


Edson Zako



Kila mtu kwa raha zake


Baadhi ya umati uwanjani hapo


mtu na 'wajomba'zake


Moja kwa moja kutoka London nchini Uingereza,

Rose muhando, akiwatahadharisha watu kwa kibao chake kipya cha 'fesibuku'.


Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza? Sarah K anauliza..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni