Jumamosi, 8 Machi 2014

Wasalamu mpendwa,Mimi OSCAR SAMBA Napenda kukukaribisha katika mkesha wangu maalumu wa maombi utakao fanyika usiku wa jumamosi wa 15/3/2014 Katika kanisa la VICTORY CHRISTIAN CENTRE T.A.G.           Lipo Kwa MOROMBO nyuma ya ATM ya NMB BANK, Chini ya Mch.ALOICY MBUGH
Unalengo la kuombea ajenda kuu 4, Ikiwemo kuweka wakifu kipaji changu cha siasa na kuombea maono yangu ya kisiasa na yawanasiasa wa Tanzania yatimie sawasawa na Mapenzi ya MUNGU.

Natumaini utakaribia; AMANI YA BWANA NA IAMUWE MOYONI MWAKO. 0759859287 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni