Alhamisi, 25 Septemba 2014

TAARIFA YA UBADILISHAJI WA JINA LA BLOGU HII,KUTOKA MWAKASEGE INJILI NAKUWA HUDUMA YA UKOMBOZI GOSPLE NA ANUANI YAKE KUTOKA www.mwakasegeinjili.blogspot.com na kuwa www.ukombozig.blogspot.com

Mkurugenzi wa kampuni ya HAKI LEO ambayo ndiyo inamiliki blogu hii Oscar Samba anayo furaha kuwatangazia kwamaba siku chache zijaro jina na anuani ya blogu hii vitabadilika kama ilivyo ainishwa hapo juu.

Sababu kuu ya mabadiliko hayo  inatokana na uanzishwaji wa huduma mpya itakayokuwa chini yake naitaitwa UKOMBOZI GOSPLE.

Maono yake na malengo yake yatakuwa hatharani rasimi baada ya uzinduzi wa huduma hiyo utakao fanyika siku hiyo ya ubadilishaji wa jina hili.

Pia anaomba radhi kwa usumbufu utakao jitokeza,na tafadhali upatapo tangazo hili mtaarifu na mwenzako.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni